- This event has passed.
Maombi ya Kitaifa
February 26 @ 8:00 am - 5:00 pm
Maombi ya Kitaifa hufanyika kila mwisho wa mwezi katika Makanisa yote ya Shekina Taifa. Maombi ya Taifa ni Tukio muhimu la kuombea Maendeleo na Taifa kwa ujumla. Mshirikishe na mwenzio muweze kuhudumu pamoja.