- This event has passed.
Semina ya Uinjilisti
January 25 @ 8:00 am - January 28 @ 5:00 pm
Hii ni moja kati ya Semina muhimu na ambayo sio ya kukosa. Semina ya Uinjilisti itafanyika kuanzia Tarehe 25 January mpaka Tarehe 28 January 2024. Sehemu ya Tukio ni ndani ya Kanisa la Shekina Kunduchi-Mtongani, Dar es salaam. Mualike na mwenzio mje pamoja.